Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu.+

  • Yeremia 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Neno+ lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, wakati Mfalme Sedekia+ alipotuma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kusema:

  • Yeremia 39:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Katika mwaka wa kumi na moja wa Sedekia, katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo, jiji likapenywa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki