2 Wafalme 23:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yehoahazi+ alikuwa na umri wa miaka 23 alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna.
31 Yehoahazi+ alikuwa na umri wa miaka 23 alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna.