30 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, wana wa watu wako wanasemezana juu yako kando ya kuta na katika miingilio ya nyumba,+ na mmoja amesema na mwingine, kila mmoja na ndugu yake, na kusema, ‘Njooni, tafadhali, msikie ni neno gani linalotoka kwa Yehova.’+