Ezekieli 33:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Na wewe, mwana wa binadamu, watu wako wanaongea kukuhusu kando ya kuta na kwenye vizingiti vya milango ya nyumba.+ Kila mtu anamwambia ndugu yake, ‘Hebu njoo tusikie neno linalotoka kwa Yehova.’
30 “Na wewe, mwana wa binadamu, watu wako wanaongea kukuhusu kando ya kuta na kwenye vizingiti vya milango ya nyumba.+ Kila mtu anamwambia ndugu yake, ‘Hebu njoo tusikie neno linalotoka kwa Yehova.’