25 ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Kwa sababu wewe umetuma barua+ katika jina lako kwa watu wote walioko Yerusalemu, na kwa Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kwa makuhani wote, ukisema,
3 Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali+ mwana wa Shelemia na Sefania+ mwana wa Maaseya+ kuhani kwa Yeremia nabii, na kusema: “Tafadhali, sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu.”+