1 Mambo ya Nyakati 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye Azaria akamzaa Seraya.+ Naye Seraya akamzaa Yehosadaki.+ Ezra 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na baada ya mambo hayo katika utawala wa Artashasta+ mfalme wa Uajemi, Ezra+ mwana wa Seraya+ mwana wa Azaria mwana wa Hilkia+ Yeremia 52:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na wale watunza-milango watatu,+
7 Na baada ya mambo hayo katika utawala wa Artashasta+ mfalme wa Uajemi, Ezra+ mwana wa Seraya+ mwana wa Azaria mwana wa Hilkia+
24 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na wale watunza-milango watatu,+