Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 huyo Ezra alitoka Babiloni; naye alikuwa mwandikaji stadi+ katika sheria ya Musa,+ ambayo Yehova Mungu wa Israeli alikuwa ametoa, hata mfalme akampa maombi yake yote, kulingana na mkono wa Yehova Mungu wake juu yake.+

  • Nehemia 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Ezra kuhani+ akaleta sheria mbele ya kutaniko+ la wanaume na la wanawake na vilevile la wote wenye akili ya kutosha kuweza kusikiliza,+ katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba.+

  • Nehemia 12:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Hao walikuwa katika siku za Yoyakimu+ mwana wa Yeshua+ mwana wa Yozadaki+ na katika siku za Nehemia+ gavana na Ezra+ kuhani, mwandikaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki