28 Na kuhusu watu wengine, makuhani,+ Walawi,+ watunza-malango,+ waimbaji,+ Wanethini+ na kila mtu aliyejitenga na watu wa zile nchi+ na kufuata sheria+ ya Mungu wa kweli, wake zao, wana wao na binti zao, kila mtu mwenye ujuzi na uelewaji,+
9 Mtu atamfundisha nani ujuzi,+ na mtu atamfanya nani aelewe yale ambayo yamesikiwa?+ Je, ni wale ambao wameachishwa kunyonya, wale walioondolewa kwenye maziwa?+