12 Wakutanishe watu,+ wanaume na wanawake na watoto wadogo na mkaaji mgeni aliye ndani ya malango yako, ili wasikilize na ili wajifunze,+ kwa maana ni lazima wamwogope Yehova Mungu+ wenu na kuwa waangalifu kuyatimiza maneno yote ya sheria hii.
2 Basi Ezra kuhani+ akaleta sheria mbele ya kutaniko+ la wanaume na la wanawake na vilevile la wote wenye akili ya kutosha kuweza kusikiliza,+ katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba.+