12 Wakutanishe watu,+ wanaume na wanawake na watoto wadogo na mkaaji mgeni aliye ndani ya malango yako, ili wasikilize na ili wajifunze,+ kwa maana ni lazima wamwogope Yehova Mungu+ wenu na kuwa waangalifu kuyatimiza maneno yote ya sheria hii.
9 Nao wakaanza kufundisha+ katika Yuda, nao walikuwa na kitabu cha sheria ya Yehova;+ nao wakaendelea kuzunguka katika majiji yote ya Yuda na kufundisha kati ya watu.