Mambo ya Walawi 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na ili kuwafundisha wana wa Israeli+ masharti yote ambayo Yehova amesema kupitia Musa.” Nehemia 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye Yeshua na Bani na Sherebia,+ Yamini, Akubu, Shabethai, Hodia, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabadi,+ Hanani, Pelaya,+ hata Walawi, walikuwa wakiwafafanulia watu sheria,+ hao watu wakiwa wamesimama.+
7 Naye Yeshua na Bani na Sherebia,+ Yamini, Akubu, Shabethai, Hodia, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabadi,+ Hanani, Pelaya,+ hata Walawi, walikuwa wakiwafafanulia watu sheria,+ hao watu wakiwa wamesimama.+