Zaburi 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Njooni, enyi wana, nisikilizeni;+Nitawafundisha kumwogopa Yehova.+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+