Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,

      Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+

      Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+

      Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+

  • Zaburi 101:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+

      Huyo ninamnyamazisha.+

      Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+

      Huyo siwezi kumvumilia.+

  • Methali 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Je, kimbelembele kimekuja? Basi aibu itakuja;+ lakini wenye kiasi wana hekima.+

  • 1 Petro 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki