1 Samweli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msiendelee kuzungumza kwa kiburi;Neno lolote la majivuno lisitoke vinywani mwenu,Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.
3 Msiendelee kuzungumza kwa kiburi;Neno lolote la majivuno lisitoke vinywani mwenu,Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.