Methali 3:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Atawadhihaki+ wale wenye dhihaka;+ lakini atawapa wapole kibali.+ Yakobo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+
6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+