Zaburi 138:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova yuko juu, hata hivyo yeye humwona mnyenyekevu;+Lakini yeye anamjua mwenye kiburi kutoka mbali tu.+ Methali 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hukumu zimefanywa imara kwa ajili ya wenye dhihaka,+ na mapigo kwa ajili ya mgongo wa wajinga.+
6 Kwa maana Yehova yuko juu, hata hivyo yeye humwona mnyenyekevu;+Lakini yeye anamjua mwenye kiburi kutoka mbali tu.+