Methali 3:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Atawadhihaki+ wale wenye dhihaka;+ lakini atawapa wapole kibali.+ Methali 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa umekuwa na hekima, umekuwa na hekima kwa ajili yako mwenyewe;+ na ikiwa umefanya dhihaka, utaichukua, wewe peke yako.+ Matendo 13:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 ‘Oneni, ninyi wenye kudharau, mstaajabie, na mtoweke, kwa sababu ninafanya tendo katika siku zenu, tendo ambalo hamtaliamini hata kidogo hata yeyote akiwaeleza kirefu.’ ”+ 2 Petro 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana mnajua hili kwanza, kwamba katika siku za mwisho+ watakuja wadhihaki+ na dhihaka zao, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe+
12 Ikiwa umekuwa na hekima, umekuwa na hekima kwa ajili yako mwenyewe;+ na ikiwa umefanya dhihaka, utaichukua, wewe peke yako.+
41 ‘Oneni, ninyi wenye kudharau, mstaajabie, na mtoweke, kwa sababu ninafanya tendo katika siku zenu, tendo ambalo hamtaliamini hata kidogo hata yeyote akiwaeleza kirefu.’ ”+
3 Kwa maana mnajua hili kwanza, kwamba katika siku za mwisho+ watakuja wadhihaki+ na dhihaka zao, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe+