Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Atawadhihaki+ wale wenye dhihaka;+ lakini atawapa wapole kibali.+

  • Methali 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa umekuwa na hekima, umekuwa na hekima kwa ajili yako mwenyewe;+ na ikiwa umefanya dhihaka, utaichukua, wewe peke yako.+

  • Matendo 13:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 ‘Oneni, ninyi wenye kudharau, mstaajabie, na mtoweke, kwa sababu ninafanya tendo katika siku zenu, tendo ambalo hamtaliamini hata kidogo hata yeyote akiwaeleza kirefu.’ ”+

  • 2 Petro 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana mnajua hili kwanza, kwamba katika siku za mwisho+ watakuja wadhihaki+ na dhihaka zao, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki