Methali 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Njia zote za mwanadamu ni safi machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anazipima roho.+ Methali 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+
12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+