Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwishowe Samweli akamjia Sauli, naye Sauli akaanza kumwambia: “Umebarikiwa+ na Yehova. Nimelitimiza neno la Yehova.”+

  • Zaburi 36:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana ametenda kwa ulaini machoni pake mwenyewe+

      Asiweze kuliona kosa lake ili alichukie.+

  • Methali 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kila njia ya mwanadamu imenyooka machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anaipima mioyo.+

  • Methali 30:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kuna kizazi cha watu walio safi machoni pao+ wenyewe lakini ambao bado hawajaoshwa mavi yao.+

  • Yeremia 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.+ Ni nani anayeweza kuujua?

  • Luka 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yule Farisayo akasimama+ na kuanza kusali+ mambo haya akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru ya kuwa mimi si kama wale watu wengine, wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi, au hata kama mkusanya-kodi huyu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki