1 Samweli 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwishowe Samweli akamjia Sauli, naye Sauli akaanza kumwambia: “Umebarikiwa+ na Yehova. Nimelitimiza neno la Yehova.”+ Zaburi 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ametenda kwa ulaini machoni pake mwenyewe+Asiweze kuliona kosa lake ili alichukie.+ Methali 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kila njia ya mwanadamu imenyooka machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anaipima mioyo.+ Methali 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuna kizazi cha watu walio safi machoni pao+ wenyewe lakini ambao bado hawajaoshwa mavi yao.+ Yeremia 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.+ Ni nani anayeweza kuujua? Luka 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yule Farisayo akasimama+ na kuanza kusali+ mambo haya akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru ya kuwa mimi si kama wale watu wengine, wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi, au hata kama mkusanya-kodi huyu.+
13 Mwishowe Samweli akamjia Sauli, naye Sauli akaanza kumwambia: “Umebarikiwa+ na Yehova. Nimelitimiza neno la Yehova.”+
11 Yule Farisayo akasimama+ na kuanza kusali+ mambo haya akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru ya kuwa mimi si kama wale watu wengine, wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi, au hata kama mkusanya-kodi huyu.+