27 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki!+ kwa sababu mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa,+ ambayo kwa nje yanaonekana kwa kweli kuwa mazuri lakini ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila namna ya ukosefu wa usafi.
39 Lakini Bwana akamwambia: “Sasa ninyi Mafarisayo, husafisha upande wa nje wa kikombe na sahani, lakini upande wenu wa ndani+ umejaa uporaji na uovu.+