4 Na itatukia kwamba mtakapokuwa mmevuka Yordani, mtayasimamisha mawe hayo, kama ninavyowaamuru ninyi leo, katika Mlima Ebali,+ nawe utayapaka chokaa.+
3 Ndipo Paulo akamwambia: “Mungu atakupiga wewe, ewe ukuta uliopakwa chokaa.+ Je, wakati uleule mmoja unaketi kunihukumu kupatana na Sheria+ na, kwa kuvunja Sheria,+ unaamuru nipigwe?”