Kumbukumbu la Torati 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ikiwa mzozo utatokea kati ya watu,+ nao wamejitokeza kwa ajili ya hukumu,+ watawahukumu na kumtangaza mwadilifu kuwa mwadilifu na mwovu kuwa mwovu.+ Yohana 7:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 “Je, sheria yetu humhukumu mtu isipokuwa kwanza iwe imesikia+ kutoka kwake na kujua analofanya?”
25 “Ikiwa mzozo utatokea kati ya watu,+ nao wamejitokeza kwa ajili ya hukumu,+ watawahukumu na kumtangaza mwadilifu kuwa mwadilifu na mwovu kuwa mwovu.+