Kutoka 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Usipotoshe uamuzi wa hukumu wa mtu wako aliye maskini katika ubishi wake.+ 2 Mambo ya Nyakati 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+ Methali 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+ Methali 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Fungua kinywa chako, hukumu kwa uadilifu na kutetea mtu mwenye kuteseka na maskini.+ Isaya 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 wale wanaomtangaza mtu mwovu kuwa mwadilifu kwa kufikiria rushwa,+ na wanaomwondolea mwadilifu hata uadilifu wake!+
6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+
15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+
23 wale wanaomtangaza mtu mwovu kuwa mwadilifu kwa kufikiria rushwa,+ na wanaomwondolea mwadilifu hata uadilifu wake!+