Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Utakaa mbali na neno la uwongo.+ Nawe usimuue mtu asiye na hatia na yule aliye mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.+

  • Kumbukumbu la Torati 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Ikiwa mzozo utatokea kati ya watu,+ nao wamejitokeza kwa ajili ya hukumu,+ watawahukumu na kumtangaza mwadilifu kuwa mwadilifu na mwovu kuwa mwovu.+

  • 1 Wafalme 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe utende na kuwahukumu watumishi wako kwa kumtangaza yule mwovu kuwa mwovu kwa kutia njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe,+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake.+

  • Isaya 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 wale wanaomtangaza mtu mwovu kuwa mwadilifu kwa kufikiria rushwa,+ na wanaomwondolea mwadilifu hata uadilifu wake!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki