25“Ikiwa mzozo utatokea kati ya watu,+ nao wamejitokeza kwa ajili ya hukumu,+ watawahukumu na kumtangaza mwadilifu kuwa mwadilifu na mwovu kuwa mwovu.+
32 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe utende na kuwahukumu watumishi wako kwa kumtangaza yule mwovu kuwa mwovu kwa kutia njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe,+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake.+