Kutoka 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Utakaa mbali na neno la uwongo.+ Nawe usimuue mtu asiye na hatia na yule aliye mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.+ Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake. Methali 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+ Isaya 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kwamba itakuwa vema kwa mwadilifu,+ kwa maana watakula matunda ya matendo yao.+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
7 “Utakaa mbali na neno la uwongo.+ Nawe usimuue mtu asiye na hatia na yule aliye mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.+
11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.
15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+