Zaburi 128:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana utakula kazi ngumu ya mikono yako mwenyewe.+Utakuwa mwenye furaha na mambo yatakwendea vema.+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+ Waebrania 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.
2 Kwa maana utakula kazi ngumu ya mikono yako mwenyewe.+Utakuwa mwenye furaha na mambo yatakwendea vema.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.