1 Wathesalonike 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa maana daima sisi hukumbuka akilini kazi yenu ya uaminifu+ na kazi yenu ya jasho yenye upendo na uvumilivu wenu kwa sababu ya tumaini+ lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele za Mungu wetu na Baba. Waebrania 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, endeleeni kuzikumbuka zile siku za zamani ambazo, baada ya kutiwa nuru,+ mlivumilia shindano kubwa chini ya mateso,+
3 kwa maana daima sisi hukumbuka akilini kazi yenu ya uaminifu+ na kazi yenu ya jasho yenye upendo na uvumilivu wenu kwa sababu ya tumaini+ lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele za Mungu wetu na Baba.
32 Hata hivyo, endeleeni kuzikumbuka zile siku za zamani ambazo, baada ya kutiwa nuru,+ mlivumilia shindano kubwa chini ya mateso,+