Wafilipi 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kwa sababu ninyi mlipewa pendeleo kwa ajili ya Kristo, si muwe tu na imani+ katika yeye, bali pia mteseke+ kwa ajili yake. 2 Timotheo 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+
29 kwa sababu ninyi mlipewa pendeleo kwa ajili ya Kristo, si muwe tu na imani+ katika yeye, bali pia mteseke+ kwa ajili yake.
12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+