Waroma 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini sasa nakaribia kusafiri kwenda Yerusalemu ili kuwahudumia watakatifu.+ 2 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 nao kwa kupenda kwao wenyewe waliendelea kutuomba kwa kusihi sana wapate pendeleo la kutoa kwa fadhili na kushiriki katika huduma iliyokusudiwa watakatifu.+ 2 Timotheo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Bwana na amruhusu apate rehema+ kutoka kwa Yehova katika siku ile.+ Na utumishi wote aliotoa katika Efeso wewe unaujua vema kabisa.
4 nao kwa kupenda kwao wenyewe waliendelea kutuomba kwa kusihi sana wapate pendeleo la kutoa kwa fadhili na kushiriki katika huduma iliyokusudiwa watakatifu.+
18 Bwana na amruhusu apate rehema+ kutoka kwa Yehova katika siku ile.+ Na utumishi wote aliotoa katika Efeso wewe unaujua vema kabisa.