29 Kwa hiyo wanafunzi wakaamua, kila mmoja kwa kadiri ambayo yeyote angeweza kutoa,+ wafanye huduma ya kupeleka misaada+ kwa akina ndugu waliokuwa wakikaa Yudea;
21 Sasa mambo hayo yalipokuwa yametimizwa, Paulo akakusudia katika roho yake kwamba, baada ya kupitia Makedonia+ na Akaya, angefunga safari kwenda Yerusalemu,+ akisema: “Baada ya kufika huko lazima pia nione Roma.”+