29 Kwa hiyo wanafunzi wakaamua, kila mmoja kwa kadiri ambayo yeyote angeweza kutoa,+ wafanye huduma ya kupeleka misaada+ kwa akina ndugu waliokuwa wakikaa Yudea;
4 nao kwa kupenda kwao wenyewe waliendelea kutuomba kwa kusihi sana wapate pendeleo la kutoa kwa fadhili na kushiriki katika huduma iliyokusudiwa watakatifu.+