35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.
26 Kwa maana wale walio katika Makedonia na Akaya+ wamependezwa kushiriki vitu vyao kwa kuwatolea mchango+ fulani walio maskini kati ya watakatifu katika Yerusalemu.