Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.

  • Methali 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Usiwanyime watu mema wanayostahili,+ mkono wako ukiwa na uwezo wa kuyafanya.+

  • Matendo 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo baada ya miaka kadhaa nilifika kuleta zawadi za rehema kwa taifa langu, na matoleo.+

  • Waroma 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana wale walio katika Makedonia na Akaya+ wamependezwa kushiriki vitu vyao kwa kuwatolea mchango+ fulani walio maskini kati ya watakatifu katika Yerusalemu.

  • 1 Wakorintho 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi kuhusu mchango+ ulio kwa ajili ya watakatifu,+ kama vile nilivyoyapa maagizo makutaniko ya Galatia,+ ninyi wenyewe pia fanyeni vivyo hivyo.

  • Wagalatia 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ila sisi tuwakumbuke walio maskini.+ Jambo hili mimi pia nimejitahidi sana kulifanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki