7 Wapeni wote haki zao, yeye anayetaka kodi, kodi;+ yeye anayetaka ushuru, ushuru; yeye anayetaka woga, woga+ huo; yeye anayetaka heshima, heshima+ hiyo.
4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.