Zaburi 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+ Luka 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?
12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+
7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?