27 “Kwa sababu gani unasema, Ee Yakobo, na kusema, Ee Israeli, ‘Njia yangu imefichwa kutoka kwa Yehova,+ na haki kwa ajili yangu humkwepa Mungu wangu’?+
12 Lakini wewe, Ee Yehova wa majeshi, unamchunguza mwadilifu;+ unaziona figo na moyo.+ Na nione kisasi chako juu yao,+ kwa maana nimekufunulia wewe kesi yangu.+