Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe;+ na Yehova anilipizie kisasi+ kutoka kwako, lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.+

  • Isaya 40:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Kwa sababu gani unasema, Ee Yakobo, na kusema, Ee Israeli, ‘Njia yangu imefichwa kutoka kwa Yehova,+ na haki kwa ajili yangu humkwepa Mungu wangu’?+

  • Yeremia 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini wewe, Ee Yehova wa majeshi, unamchunguza mwadilifu;+ unaziona figo na moyo.+ Na nione kisasi chako juu yao,+ kwa maana nimekufunulia wewe kesi yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki