15 “Badala ya wewe kuwa aliyeachwa kabisa na kuchukiwa, bila kuwa na yeyote anayepita katikati,+ nitakuweka kuwa kitu cha fahari mpaka wakati usio na kipimo, furaha kwa kizazi baada ya kizazi.+
11 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, kwa habari ya mifupa hii, hii ni nyumba nzima ya Israeli.+ Tazama, wanasema, ‘Mifupa yetu imekauka, nalo tumaini letu limeangamia.+ Tumekatiliwa mbali, tukabaki peke yetu.’
11Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+