Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 77:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Je, Yehova ataendelea kutupa mpaka nyakati zisizo na kipimo,+

      Na je, hatapendezwa tena kamwe?+

  • Isaya 49:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Sayuni akaendelea kusema: “Yehova ameniacha,+ na Yehova mwenyewe amenisahau.”+

  • Isaya 60:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Badala ya wewe kuwa aliyeachwa kabisa na kuchukiwa, bila kuwa na yeyote anayepita katikati,+ nitakuweka kuwa kitu cha fahari mpaka wakati usio na kipimo, furaha kwa kizazi baada ya kizazi.+

  • Ezekieli 37:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, kwa habari ya mifupa hii, hii ni nyumba nzima ya Israeli.+ Tazama, wanasema, ‘Mifupa yetu imekauka, nalo tumaini letu limeangamia.+ Tumekatiliwa mbali, tukabaki peke yetu.’

  • Waroma 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki