Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.

  • Isaya 49:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Sayuni akaendelea kusema: “Yehova ameniacha,+ na Yehova mwenyewe amenisahau.”+

  • Yeremia 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya mapigo yako,”+ asema Yehova. “Kwa maana walikuita mwanamke aliyefukuzwa:+ ‘Huyo ni Sayuni, ambaye hakuna yeyote anayemtafuta.’”+

  • Yeremia 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Yehova amesema hivi, ‘Katika mahali hapa ambapo ninyi mtakuwa mkisema ni ukiwa usio na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu ambazo ziko ukiwa+ pasipo na mwanadamu wala mkaaji wala mnyama wa kufugwa, bado itasikiwa+

  • Maombolezo 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+

      Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+

      Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+

  • Wagalatia 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana imeandikwa: “Furahi, wewe mwanamke tasa usiyezaa; paaza sauti na kupaaza kilio kikubwa, wewe mwanamke ambaye huna maumivu ya kuzaa mtoto; kwa maana watoto wa mwanamke aliye na ukiwa ni wengi kuliko wale wa yule aliye na mume.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki