Yeremia 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini lisikieni neno la Yehova, enyi wanawake, na sikio lenu lichukue neno la kinywa chake. Kisha mwafundishe binti zenu maombolezo,+ na kila mwanamke amfundishe mwenzake wimbo wa huzuni.+
20 Lakini lisikieni neno la Yehova, enyi wanawake, na sikio lenu lichukue neno la kinywa chake. Kisha mwafundishe binti zenu maombolezo,+ na kila mwanamke amfundishe mwenzake wimbo wa huzuni.+