2 Samweli 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Daudi akaimba wimbo huu wa huzuni+ kwa ajili ya Sauli na Yonathani mwana wake+ Yeremia 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+
29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+