Kumbukumbu la Torati 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+ Kumbukumbu la Torati 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo akasema, ‘Acha niufiche uso wangu kutoka kwao,+Acha nione mwisho wao utakuwaje baadaye.Kwa maana wao ni kizazi chenye upotovu,+Wana ambao ndani yao hamna uaminifu.+
15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+
20 Kwa hiyo akasema, ‘Acha niufiche uso wangu kutoka kwao,+Acha nione mwisho wao utakuwaje baadaye.Kwa maana wao ni kizazi chenye upotovu,+Wana ambao ndani yao hamna uaminifu.+