Kumbukumbu la Torati 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+ Isaya 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nimewanyooshea watu wakaidi+ mikono yangu mchana kutwa, wale ambao wanatembea katika njia ambayo si nzuri,+ wakifuata mawazo yao;+ Mathayo 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yesu akajibu, akasema: “Enyi kizazi kisicho na imani na kilichopotoka,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi mpaka wakati gani? Nitawavumilia ninyi mpaka wakati gani? Mleteni hapa.”
5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+
2 “Nimewanyooshea watu wakaidi+ mikono yangu mchana kutwa, wale ambao wanatembea katika njia ambayo si nzuri,+ wakifuata mawazo yao;+
17 Yesu akajibu, akasema: “Enyi kizazi kisicho na imani na kilichopotoka,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi mpaka wakati gani? Nitawavumilia ninyi mpaka wakati gani? Mleteni hapa.”