6 Na hakika wao watakufa, wakubwa kwa wadogo, katika nchi hii. Hawatazikwa,+ wala watu hawatajipiga-piga kwa ajili yao, wala hakuna yeyote atakayejikata-kata+ wala kujitia upara kwa ajili yao.+
16 Fanya upara, unyoe nywele zako kwa sababu ya wana wa furaha yako tele.+ Panua upara wako kama ule wa tai, kwa sababu wameondoka kwako kwenda uhamishoni.”+