Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Ayubu akasimama, akalirarua+ koti lake lisilo na mikono, akanyoa+ kichwa chake, akaanguka chini+ na kuinama,+

  • Isaya 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.

  • Isaya 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, atataka katika siku hiyo kuwe kilio+ na maombolezo na upara na kuvaa nguo za magunia.+

  • Yeremia 7:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki