2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.
29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+