10 Nami nitazigeuza sherehe zenu ziwe maombolezo+ na nyimbo zenu zote ziwe nyimbo za huzuni. Nitatia nguo za magunia juu ya viuno vyote na juu ya kila kichwa nitatia upara.+ Nami nitafanya hali iwe kama kuombolezea mwana wa pekee,+ na matokeo yake ya mwisho kama siku yenye uchungu.’
16 Fanya upara, unyoe nywele zako kwa sababu ya wana wa furaha yako tele.+ Panua upara wako kama ule wa tai, kwa sababu wameondoka kwako kwenda uhamishoni.”+