Mwanzo 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Basi Yakobo akararua nguo zake za kujitanda, akavaa nguo za magunia viunoni mwake, akamwombolezea mwana wake siku nyingi.+ 1 Samweli 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mtu fulani wa Benyamini akakimbia kutoka katika uwanja wa mapigano, akafika Shilo siku hiyo huku mavazi yake yakiwa yameraruliwa,+ na mavumbi yakiwa juu ya kichwa chake.+
34 Basi Yakobo akararua nguo zake za kujitanda, akavaa nguo za magunia viunoni mwake, akamwombolezea mwana wake siku nyingi.+
12 Na mtu fulani wa Benyamini akakimbia kutoka katika uwanja wa mapigano, akafika Shilo siku hiyo huku mavazi yake yakiwa yameraruliwa,+ na mavumbi yakiwa juu ya kichwa chake.+