6 Ndipo Yoshua akararua nguo zake za kujitanda, akaanguka kifudifudi+ mbele ya sanduku la Yehova mpaka jioni, yeye na wanaume wazee wa Israeli, nao wakawa wakitia mavumbi vichwani mwao.+
19 Ndipo Tamari akatia majivu+ juu ya kichwa chake, akairarua ile kanzu yenye mistari-mistari aliyokuwa amevaa; naye akaweka mikono yake juu ya kichwa chake,+ akatembea akienda zake, akitembea huku akilia.
32 Na ikawa kwamba Daudi alipofika kwenye kilele ambapo kwa kawaida watu walikuwa wakimwinamia Mungu, tazama, Hushai+ Mwarki,+ akija kumpokea, kanzu yake ikiwa imeraruliwa na kukiwa na vumbi kichwani pake.+
12 Walipoinua macho yao kutoka mbali hawakumtambua. Ndipo wakapaaza sauti zao, wakalia, wakararua+ kila mmoja koti lake lisilo na mikono na kurusha mavumbi kuelekea mbinguni juu ya vichwa vyao.+