22 Ndipo wakaanguka kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho za kila namna ya mwili,+ je, mtu mmoja tu atatenda dhambi nawe ulikasirikie kusanyiko lote?”+
6 Ndipo Musa na Haruni wakatoka mbele ya kutaniko wakaenda kwenye mwingilio wa hema la mkutano na kuanguka kifudifudi,+ nao utukufu wa Yehova ukaanza kuwatokea.+