17 Na Daudi akamwambia Yehova, wakati alipomwona yule malaika aliyekuwa akiwapiga na kuwaua watu, ndiyo, akasema: “Tazama, mimi ndiye niliyetenda dhambi, nami ndiye niliyefanya kosa; lakini kondoo+ hawa—wamefanya nini? Tafadhali, acha mkono wako uje juu yangu+ na juu ya nyumba ya baba yangu.”