1 Wafalme 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika+ juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana. Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+ Zaburi 44:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wewe unatutoa kama kondoo, kama chakula,+Nawe umetutawanya kati ya mataifa.+ Zaburi 95:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+
17 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika+ juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana. Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+