Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova ni Mchungaji wangu.+

      Sitakosa chochote.+

  • Zaburi 48:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Mungu huyu ni Mungu wetu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

      Yeye mwenyewe atatuongoza mpaka tufe.+

  • Zaburi 79:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sisi watu wako na kundi la malisho yako,+

      Tutakushukuru mpaka wakati usio na kipimo;

      Kutoka kizazi mpaka kizazi tutatangaza sifa yako.+

  • Zaburi 80:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+

      Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+

      Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+

  • Isaya 40:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+

  • Ezekieli 34:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “ ‘Na kwa habari yenu ninyi kondoo zangu,+ kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wa udongo. Mimi ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki